Uislamu kwa nchi |
Waislamu wamo kwenye asilimia 38.6 ya idadi yote ya wakazi wa nchini Ivory Coast.[1] In Ivory Coast, Waslamu wanasali, wanafunga, na kutoa sadaka kama inavyohitajika na mafunzo ya Kiislamu, na walio wengi huenda hija na imefanywa kama kiada. Waislamu walio wengi wa Kiivoiri ni dhehebu la Sunni, wanaofuata mafundisho ya Imam Maliki.[2][3][4]
{{cite book}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite book}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite book}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)